Saturday, November 30, 2013

CHECK PICHA ZA RED carpet Ebss 2013


DSC_0003
Hiki ndicho kinachoendelea kwa sasa,upande wa redcarpet hapa Escape 1 Mahali ambako anazaliwa super star wa mwaka 2013 kupitia Epiq Bongo Star Search.
DSC_0002

DSC_0006

DSC_0004

DSC_0006

DSC_0015

DSC_0018

Wednesday, November 27, 2013

Kama unataka jibu kuhusu hizi picha zilizosambaa za Mrisho Ngassa na Snura mapenzini

Snura na Ngassa 1
snura na Ngassa 3

Ni picha ambazo zimekua zikizungumziwa kwenye mitandao ya kijamii na hata kwenye mitandao mingine ya habari nchini Tanzania zikimwonyesha mchezaji wa Yanga Mrisho Ngassa akiwa mapenzini na mwimbaji Snura wa bongofleva. Snura anasema mwanzo wa hizi picha kusambaa ni baada ya kupoteza simu yake, namnukuu akisema ‘Millard hizo picha hazina uhusiano wowote unaounganishwa kimapenzi kati yangu na Ngassa ila ni sehemu ya vipande vya movie yangu inaitwa ‘Majanga’ ambayo nimeanza kuifanya na Ngassa amecheza ndani yake kwenye scene za mapenzi, yani Snura kwenye movie amecheza kama binti mrembo anaerukiarukia Wanaume’ ‘Simu yangu ilipotea ndio maana wamezipata hizo picha, wakati tunashoot tulikua tunapigapiga tu hayo mapicha, mi sikuwa nataka kuzitoa kabisa manake movie yenyewe bado naifanya nusunusu kutokana na kukosa muda, hii ishu imeniletea sana matatizo manake mwingine anakua haamini unachokiongea na hakuna kitu kinauma kama kuongea ukweli alafu mtu anasema unadanganya’ – Snura Kwa kumalizia Snura anasema ‘Ngassa alinipiga muda mfupi tu baada ya picha kuanza kusambaa akauliza mbona hizi picha zinasambaa hivi Snura? nikamwambia usinielewe tofauti babaangu kwa sababu mimi mwenyewe sikutaka zitoke, picha nilizopiga nyinginyingi tu wakati tunatengeneza movie ila naona watu wameona hizi ndio nzuri kwa skendo’
Snura na ngassa 2

Friday, November 22, 2013

Zitto Kabwe kuvuliwa nyadhifa zote Chadema.

 




Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kimemvua nyadhifa zote Naibu Katibu mkuu wake Zitto Kabwe ambae ni mbunge wa Kigoma Kaskazini.
Mwanasheria mkuu wa CHADEMA Tundu Lissu kwenye makao makuu ya chama hicho, amesema Zitto na wenzake watatu wamebainika kukihujumu chama  kwa kuanzisha kitu kinaitwa Mkakati 2013 kinacholenga kukisambaratisha chama hicho ili kuwaondoa madarakani Mwenyekiti na Katibu mkuu wake.
Nyadhifa alizovuliwa ni Unaibu katibu mkuu pamoja na Naibu kiongozi wa upinzani bungeni ambapo yeye, Dr. Kitila Mkumbo na Samson Mwigamba na mwingine mmoja Makao makuu wamepewa siku kumi na nne wajieleze kimaandishi kabla ya kuchukuliwa hatua zaidi za kinidhamu ikiwemo kuvuliwa Uanachama.

EXCLUSIVE:check video mpya ya ‘nimevurugwa’ aliyoahidi Snura imetoka,noooma saaana.icheck chini



August 2013 ndio Snura aliishusha single yake ya ‘nimevurugwa’ kwenye radio za bongo ikiwa ni miongoni mwa single zinazopata airtime bila kuwa na video lakini leo November 22 2013 kaishusha video vituo mbalimbali … itazame hapa chini na uache maoni yako mtu wangu, atapita hapa baada ya saa 6.
Snura alisema kwenye video ya ‘majanga’ hakuweza kucheza kama inavyotakiwa lakini huku kwenye ‘nimevurugwa’ ndio kajiachia.

EXCLUSIVE:Zitto Kabwe kuvuliwa nyadhifa zote Chadema.

 

Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kimemvua nyadhifa zote Naibu Katibu mkuu wake Zitto Kabwe ambae ni mbunge wa Kigoma Kaskazini.
Mwanasheria mkuu wa CHADEMA Tundu Lissu kwenye makao makuu ya chama hicho, amesema Zitto na wenzake watatu wamebainika kukihujumu chama  kwa kuanzisha kitu kinaitwa Mkakati 2013 kinacholenga kukisambaratisha chama hicho ili kuwaondoa madarakani Mwenyekiti na Katibu mkuu wake.
Nyadhifa alizovuliwa ni Unaibu katibu mkuu pamoja na Naibu kiongozi wa upinzani bungeni ambapo yeye, Dr. Kitila Mkumbo na Samson Mwigamba na mwingine mmoja Makao makuu wamepewa siku kumi na nne wajieleze kimaandishi kabla ya kuchukuliwa hatua zaidi za kinidhamu ikiwemo kuvuliwa Uanachama.


Tuesday, November 19, 2013

BADO MASAA :Kaa tayari kwa ujio mpya kutoka kwa NAY WA MITEGO unajua anakuja vipi safari hii...? Stay tune itakuwa kali ohohoooo

EXCLUSIVE:Irene Uwoya awaonyesha mashabiki wake tatoo yake nyingine..icheki hapa.

 

uwoya2

uwoyacover

Muigizaji wa kike ambaye ametajwa kuwa ndiyo maarufu sana nchini Congo kuliko msanii yoyote wa bongomovie na anajulikana zaidi kwa jina la Oprah zaidi ya jina lake la Irene Uwoya.
Headline mpya kutoka kwake ni kuhusu picha alizo-post zikionyesha tatoo yake nyingine ambayo haijawai kuonekana kwasababu aliwai kuweka wazi tatoo mbili tu, moja ni nyayo za mwanae Krish iliyopo mgongoni na nyingine ipo kifuani.
Hii hapa ndiyo mpya kwa mashabiki wake ambayo ameiweka wazi leo.
uwoya

Thursday, November 7, 2013

Exclusive: hii ndio video mpya ya Shilole “Nakomaa na jiji”check video chini

shishi
Cheki hapa exclusive teaser ya video mpya kutoka kwa Shilole ambayo imeandaliwa na director Nisher. Rasmi inatoka tarehe 9/11

COMING SOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOON.noooooooooooooomaaa saaaaaanaaaaaaaaaaaaaaa


Jamani huruma: Jacklyn Walper adhalilishwa facebook awaomba mashabiki kuwa na roho ya huruma kidogo

Akionyesha kusikitishwa na kile kinachoendelea facebook, leo hii muigizaji bongo movie,Jackline Walper ameanika maongezi yaliyokuwa yakiendelea katika akaunti ya Walper fake kupitia facebook ikionyesha chati iliyoonekana Walper akiomba sh 20,000 kwa ajili ya kununua umeme mara baada ya kutaikiwa na umeme huku akifanya kazi zake kwenye computer. 

Walper aliweka maongezi hayo yakiambatana na manenoo haya kwa chini

wolpergambemashaniki zangu haya ndo mambo ya fc bk dah hvii kweli ndo wanavyonidhalilisha plz nisaidien ata kuamdika huko kwa fc bk zenu situmii jina lolote zaidi ta wolper gambe real .siyoo vzuri jamani muwe na roho ya huruma kdogo dah

Monday, November 4, 2013

Coming soon: Mansuli feat Nikki Mbishi na Belle 9


Underground King anaewakilisha Sinza Star, Mansuli anatarajia kudondosha pini jipya, this time akiwa na Nikki Mbishi na Belle 9, Stay tuned 

Sunday, November 3, 2013

Babaz NOORAH anarudi...??? sasa unajua safari hii anarudi akiwa na nani...?



Get ready for a brandy new song kutoka Kwa mwanachember Noorah ft Dully Sykes and Chege production ikiwa ya Producer MbeZi Track inaitwa ACHA USHAMBA.