alikua ni Man of the show...Nilicheka sana aisee
Queen Dalin akichukua tuzo ya wimbo bora wa Ragga / Dancehall kulia ni Abby na kushoto ni Mr Taji Liundi
Prof J na Fella wakiwasilisha tuzo kwa Roma
Rappa bora alikua ni Kitokololo
Msanii kutoka THT akimwaga mavituuuuuuuz
THT dancers wakifanya mambo yao
Red carpet, kila mtu akifanya interview na mtu wake wengine wakisubiri kupiga pich
by japhet







No comments:
Post a Comment