Wednesday, April 18, 2012

duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu mpoki mkeka

alikua ni Man of the show...Nilicheka sana aisee 

Queen Dalin akichukua tuzo ya wimbo bora wa Ragga / Dancehall kulia ni Abby na kushoto ni Mr Taji Liundi

Prof J na Fella wakiwasilisha tuzo kwa Roma

Rappa bora alikua ni Kitokololo

Msanii kutoka THT akimwaga mavituuuuuuuz

THT dancers wakifanya mambo yao

Red carpet, kila mtu akifanya interview na mtu wake wengine wakisubiri kupiga pich
by japhet

No comments:

Post a Comment