Roma akipokea tuzo yake. kaondoka home na tuzo mbili.msanii bora wa hip hop na wimbo bora wa hip hop (mathematics)
Diamond kwenye Red carpet akiwa na mama yake na friend
Warriors From East wakiondoka na tuzo yao ya Wimbo bora wa Reggae
Dushelele pia ilichukua tuzo..Ali Kiba akipokea tuzo hiyo kutoka kwa Dina Marios wa Leo Tena na Reinfred Masako
nyomi la Ukumbini na jinsi palivyopambwa
by japhet





No comments:
Post a Comment