Wednesday, April 18, 2012

YALIYOJIRI TUZO ZA KILIMANJARO TANZANIA MUSIC AWARDS (KTMA)

Roma akipokea tuzo yake. kaondoka home na tuzo mbili.msanii bora wa hip hop na wimbo bora wa hip hop (mathematics)

Diamond kwenye Red carpet akiwa na mama yake na friend

Warriors From East wakiondoka na tuzo yao ya Wimbo bora wa Reggae

Dushelele pia ilichukua tuzo..Ali Kiba akipokea tuzo hiyo kutoka kwa Dina Marios wa Leo Tena na Reinfred Masako

nyomi la Ukumbini na jinsi palivyopambwa
by japhet

No comments:

Post a Comment