Thursday, July 19, 2012

TIWA SAVAGE, WIZKID, MABALOZI WAPYA WA PEPSI KUTOKA NAIGERIA

baada ya miezi kadhaa ya maneno ya chini chini, sasa imethibitishwa kuwa wawili hawa ndio mabalozi wapya wa PEPSI. Tiwa Savage na Wizkid walitangazwa usiku wa jana katika exclusive event iliyofanyika Likwid ndani ya Lagos

P SQUARE WAMPOTEZA MAMA YAO

Wasanii wakubwa nchini Nigeria na duniani kote, P-Square wamempoteza mama yao mzazi Mrs Okoye usiku wa kuamkia leo nchini India alipokuwa amepelekwa kwa matibabu baada ya kuhamishwa kutoka katika moja ya hospitali kubwa nchini Nigeria, St Nicholas iliyopo Yaba, Lagos.
inasemekana mama wa wasanii hao, alikua ni moja kati ya nguzo yao kubwa kimuziki kwa kuwapa ushauri na upendo usio na gharama yoyote.
arrangement zinafanyika ili kuurudisha mwili wa marehemu nchini Nigeria.


No comments:

Post a Comment