Wednesday, September 11, 2013

Gucci Mane achafua twitter awadiss kila mmoja unaewajua duh nouma sanaaaaaaaaa

Rapper Gucci Mane achafua twitter kwa diss ambazo amezielekeza kwa karibu kila msanii unaemfikiria. Kila mtu mwenye jina flani kutoka Atlantic Records kuanzia Nicki Minaj, Ciara, Waka, Jeezy, Rick Ross Vanessa, editor-in-chief wa XXL magazine, mpaka mschana wake mwenyewe Keyshia D’oir!....majina ni mengi fanya kuangalia mwenyewe.

No comments:

Post a Comment