Thursday, October 17, 2013

EXCLUSIVE:Nay wa Mitego kuchuana na wasanii wakubwa wa Kenya na Uganda kwenye Nzumari awards.

Habari mpya kutoka kwa msanii Ney wa Mitego ni kwamba hivi sasa amepata nomination mbili kwenye category mbili tofauti katika Nzumari awards. Mwaka jana Diamond alishinda tuzo hizi na mwaka huu ni kwamba wimbo wa Ney utashinda na nyimbo za wasanii wengine wa Africa Mashariki kwenye category ya wimbo bora wa Afrika Mashariki.
Ney akiongea na millardayo.com amesema,”Nimepata nomination mbili, ya kwanza kwenye kipengele cha msanii bora wa kiume kutoka Tanzania ambapo tupo mimi,Diamond,Ommy Dimpoz na Rich Mavoko. Kipengele kingine ni wimbo bora wa Afrika mashariki ambapo nipo mimi na wimbo wa Muziki gani,Mobima wa P unit na Badilisha wa Jose Chameleone”

All the best kwenye category wimbo bora wa Afrika mashariki.

No comments:

Post a Comment