Tuesday, October 15, 2013

SINA TIME NA MUZIKI TENA "NOORAH BABA STYLE" NOOOMA SANA

 



Msanii wa Muda sasa kwenye Industry ya Bongo Fleva Noorah a.k.a BabaStyle amevunja ukimya kwa kuamua Kufunguka kile kilicho moyoni mwake kuhusu ukimya wake kwenye Game kwa sasa ambapo amefika mbali na kusema kuwa Mziki hauna faida kwake na kwa sasa anaufanya Mziki kama Starehe like mtu anavyotoka kwenda Bar kunywa beer huku akiwa sio Mlevi means siku akifeel ham tu.

No comments:

Post a Comment