Saturday, June 28, 2014

check new video ya ben pol.shuka chini

ben 1

Hii ni video ambayo imeongozwa na mshindi wa tuzo ya Muongozaji[Director] anayependwa Nisher kutoka Arusha,ni video ya pili kutoka kwa Ben Pol baada ya kufanya nae video ya Jikubali,baada ya kuangalia unaweza kuandika chochote ulichokipenda kwenye video hii.

angalia video mpya ya Shetta aliyofanyia South Africa.kerewa angalia chini new video

sheta



Baada ya kusubili kwa muda mrefu hivi sasa unaweza kuangalia video ya Sheta akiwa na Diamond kwenye video ya Kerewa Kerewa waliyo shoot South Africa. Video ina dakika 3 na sekunde 16, enjoy kuiangalia hapa.


CHECK NEW VIDEO YA JUX-NITASUBIRI

angalia chini video ya jux

Baada ya kuadhibiwa kwa kung’ata uwanjani, ndivyo alivyopokelewa suareeeeeeeeeeeeeeeeeezzzzzzzzzz


Suarez 1
Mchezaji wa timu ya taifa ya Uruguay Luis Suarez alipewa adhabu ya kutojihusisha na soka kwa muda wa miezi minne kutoka sasa baada ya kuthibitika kumng’ata mchezaji wa Italia Giorgio Chiellini kwenye mechi za kombe la dunia.
Pamoja na kwamba Suarez mwenyewe amesema hakufanya hivyo makusudi na kuwa hiyo ni kawaida kwenye matukio yanayotokea uwanjani, alipewa adhabu hiyo kali ambayo pia imepingwa na mashabiki mbalimbali waliompokea ambao wanaamini kaonewa.
suarez 2

suarez 3