MCHEZAJI MWENYE BEI KUBWA AFRICA
Mchezaji huyu ambaye ni raia wa cameroon ndiye anayeongoza kwa kulipwa ela nyingi kuliko mchezaji yeyote katika bara ra Africa.Ni baada ya kujiunga na timu ya huko Urusi e'tto sasa anavuta mkwanja mkubwa sana katika ardhi yetu ya AFRICA.Hata hivyo lakini timu yao imeshidwa kufuzu kucheza michoano ya mataifa huru ya Africa.
No comments:
Post a Comment