WALETE HAO MAN U
Nikatika joto likiwalikizidi kuwa kubwa kati ya man u na liverpool mshambuliaji wa liverpool amefunguka na kusema kuwa timu yao ipo katika maandalizi mazuri tu katika kuikabili timu ya mashetani wekundu hao.aliongeza akisema kuwa mashetani hao wapo katika morari kubwa kwa sababu hadi sasa ajafungwa ata mechi moja hata hivyo wanamatumaini makubwa ya kuweza kuibuka na ushindi halimaliza akisema hivyo.
No comments:
Post a Comment