Tuesday, October 11, 2011

WATANZANIA WALIA NA MAXIMO

Ni bada ya kutolewa katika kufuzu kombe la mataifa huru ya Africa watanzania sasa waanza kukumbuka fadhila za Maximo na kuomba second chance kwa Maximo kuja tena kuinoa timu yetu ya Tanzania (taifa stars).je Maximao atakubali kurejea kuifundisha taifa stars?

No comments:

Post a Comment