Ngoma mpya kutoka kwa Diamond iliyovuja kupitia kwenye mitandao mbali
mbali "ukimuona" ambayo pia inasikika kupitia Club mbali mbali,
inasemekana kuwa ni demo, haikua imekamilika, lakini baada ya kupoteza
sim yake aina ya Blackberry iliyokua kwenye moja ya gari zake, ndio
imesababisha kuvuja kwa wimbo huo..
"kweli kabisa siku release na hiyo nyimbo hapo ilipo haijaisha kabisa,
Tuesday, February 19, 2013
DIAMOND: SIMU ILIYOIBIWA IMESABABISHA KUVUJA KWA NGOMA YANGU "UKIMUONA"
Ngoma mpya kutoka kwa Diamond iliyovuja kupitia kwenye mitandao mbali
mbali "ukimuona" ambayo pia inasikika kupitia Club mbali mbali,
inasemekana kuwa ni demo, haikua imekamilika, lakini baada ya kupoteza
sim yake aina ya Blackberry iliyokua kwenye moja ya gari zake, ndio
imesababisha kuvuja kwa wimbo huo..
"kweli kabisa siku release na hiyo nyimbo hapo ilipo haijaisha kabisa,
ROMA AFAFANUA MSTARI UNAOONEKANA KUMDISS JOE MAKINI NA KUSEMA HIYO SIO DISS KWA JOE
Kupitia top 20 ya Clouds Fm leo hii, Roma amefunguka na kutoa ufafanuzi
juu ya line iliyoko kwenye ngoma yake mpya 2030 iliyosababisha watu
wengi kuuona kama ni diss moja kwa moja kwenda kwa mwamba wa kaskazini
Joe Makini.kabla hujamsikiliza alichokizungumza, roma pia alitoa
ufafanuzi huo kupitia ukurasa wake wa facebook na hiki ndicho
alichokiandika
R.O.M.A 2030 HUWEZI .
Subscribe to:
Comments (Atom)