Tuesday, February 19, 2013

DIAMOND: SIMU ILIYOIBIWA IMESABABISHA KUVUJA KWA NGOMA YANGU "UKIMUONA"


    Ngoma mpya kutoka kwa Diamond iliyovuja kupitia kwenye mitandao mbali mbali "ukimuona" ambayo pia inasikika kupitia Club mbali mbali, inasemekana kuwa ni demo, haikua imekamilika, lakini baada ya kupoteza sim yake aina ya Blackberry  iliyokua kwenye moja ya gari zake, ndio imesababisha kuvuja kwa wimbo huo.. "kweli kabisa siku release na hiyo nyimbo hapo ilipo haijaisha kabisa,

No comments:

Post a Comment