Ngoma mpya kutoka kwa Diamond iliyovuja kupitia kwenye mitandao mbali
mbali "ukimuona" ambayo pia inasikika kupitia Club mbali mbali,
inasemekana kuwa ni demo, haikua imekamilika, lakini baada ya kupoteza
sim yake aina ya Blackberry iliyokua kwenye moja ya gari zake, ndio
imesababisha kuvuja kwa wimbo huo..
"kweli kabisa siku release na hiyo nyimbo hapo ilipo haijaisha kabisa,
No comments:
Post a Comment